More details

Mkutano Mkuu wa 31 wa CCT

Picha ya Pamoja kati ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan na Maaskofu wa CCT, Wakuu wa Makanisa wanachama CCT, Umoja wa wanawake CCT na Secretarieti ya CCT. Tukio hilo limefanyika baada ya hotuba ya Rais Katika Mkutano Mkuu wa 31 wa CCT