More details

Ibada maalumu ya Kongamano la Wachungaji wa Kanisa la Anglikana Tanzania.

Ibada maalumu ya Kongamano la Wachungaji wa Kanisa la Anglikana Tanzania. Moja ya kusudi la kongamano hilo ni maadhimisho ya miaka 50 ya Kanisa la Anglikana Tanzania na pia miaka 176 ya uinjilisti. Maadhimisho hayo yamefanyika leo Tarehe 26/9/2021 katika Chuo Kikuu cha St. Johns Tanzania-Dodoma.