More details

CCT YASHIRIKI SIKU YA MAOMBI YA WANAWAKE DUNIANI

CCT imeungana na wanawake katika siku ya maombi duniani tarehe 4 Machi 2022 siku ya maombi ya Wanawake duniani yenye lengo la kuombea Amani na mambo mengine ambapo Ibada ilifanyika katika kanisa Kuu la KKKT Dodoma. Ibada iliambatana na maandamano.Maombi ya dunia kwa wanawake hufanyika kwa makanisa yote kwa lengo la kuwafanya walioshiriki kurudia Imani katika nafsi zao na pia wametumia siku hiyo kuiombea dunia