More details

Ibada ya uzinduzi wa Tawi la USCF Chuo cha Utumishi wa Umma Singida

Ibada ya uzinduzi wa Tawi la USCF Chuo cha Utumishi wa Umma Singida, ambapo tawi hili limezinduliwa na Mkurugenzi wa Umisheni na Uinjilisti CCT Mchg. David Kalinga. Ibada hiyo imeongozwa Mchg.James Jima Mhubiri wa neno akiwa katibu wa USCF Taifa Bw Aman Kwale ambapo ametukumbusha juu ya kukaa Kwa Bwana siku zote za maisha yetu Zab 27:1-4