Wageni toka ubalozi wa Denmark wametembelea ofisi ya wasaidizi wa kisheria katuka wanaosimamiwa na CCT katika wilaya ya chamwinoJukwaa la wajane na Wagane wa Kikristo Tanzania limefanyika leo Tarehe 6 Novemba, Dhima kuu ikiwa ni Kuhakikisha wanawake na watoto wanajengewa uwezo wa kiroho, kielimu na kiuchumi ili waweze kuzimudu changamoto na kustawi kimaisha na kumtumikia MUNGUKongamano la kuhamasisha Viongozi wa Dini na wadau wengine kutetea haki za mwanamke na mtoto wa kike limefanyika Jijini Dodoma leo tarehe 24 Ocktoba 2020. Kongamano hili limewezeshwa na CCT kupitia mradi wa Mwanamke Jasiri unaofadhiliwa na Shirika la maendeleo la Norway (NORAD).Mratibu wa mradi wa Mwanamke jasiri mkoa wa Dodoma Elizabeth Ngede akitoa ushauri wa masoko kwa Kikundi cha Imara ambao wanajishughulisha na utengenezaji wa vyunguMr Elibarik Msengi ( Mwanasheria) wa CCT akielimisha wananchi juu ya umuhimu wa kupiga kura *kwa nini ni muhimu kupiga kura* kupitia Dodoma Fm kupitia mradi wa DDA unatekelezwa hapa Dodoma na CCT kwa ufadhili wa *PACT*A new Norwegian Church Aid (NCA) Country Director in Tanzania Miss Paulina visited Christian Council of Tanzania (CCT) Offices in the Capital City, Dodoma, November 29, and attended a morning prayer before conducting a meeting for Working the Giant Initiative. Viongozi wa dini mbalimbali mkoa wa Dodoma akiwemo Askofu Joseph Mtorela kutoka Kanisa la Mennonite Tanzania, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ndugu Mustafa Rajabu, wachungaji na Mratibu wa Kamati ya Mahusiano ya Dini Mbalimbali wakielezea jinsi ambavyo wanashiriki katika kulinda na kutetea haki za watoto katika jamii hasa sehemu za kuabudia.Viongozi wa dini mbalimbali mkoa wa Dodoma akiwemo Askofu Joseph Mtorela kutoka Kanisa la Mennonite Tanzania, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ndugu Mustafa Rajabu, wachungaji na Mratibu wa Kamati ya Mahusiano ya Dini Mbalimbali wakielezea jinsi ambavyo wanashiriki katika kulinda na kutetea haki za watoto katika jamii hasa sehemu za kuabudia.
CCT inaendelea kuwezesha wachungaji,wainjilist,viongozi wa vikundi vya vijana na wanawake kujua umuhimu wa kuhamasisha jamii kushiriki kwenye mchakato wa uchaguzi.Mafunzo haya yanaendelea kanda ya kusini njombe Tarehe 17-18 Agosti 2020. #churchofSweden #Bread
CCT is participating in the meeting with national elections commission with the aim of up dating religious leaders with election processes.So far it was reported that we have 29,188,347 voters. We still have 264 constituency 214 Tanzania mainland and 50 Zanzibar.There are 3956 wards. The chairman said that the increase of voters is due to the mobilization of citizens by religious leaders
Dr. Biseko Palapala kutoka Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Dodoma akiongea na viongozi wa Dini kutoka Kamati ya Mahusiano ya Dini mbalimbali Mkoa wa Dodoma kuhusu Ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona, Covid-19
CCT continues to build the capacity of religious leaders on Civic education.The role of religious leaders is keynote to ensure civic engagement and participation in democratic space.The training is with the central zone on 13-14 August 2020. Issues of corruption,women and PWDs participation are key to the trainings. # churchofsweden #ELCT
Christian council of Tanzania participated in the dialogue with TEC and BAKWATA to discuss the roles of religious leaders in ensuring peace during elections.It was agreed that electroral management bodies have to adhere to laws and regulations,media should be free and fair to reporting,citizens have also to be encouraged and supported to participate despite many challenges and that it’s the role of the religious leaders to pray and mobilize the community to pray for free fair and peaceful elections . Norwegian Church Aid Tanzania #churchofsweden #Bread
CCT inaendelea kujenga uwezo wa viongozi wa dini, makundi ya vijana na wanawake,Wachungaji na wainjilisti ili kuhakikisha Uchaguzi unakuwa wa haki na amani na wananchi wajue haki zao katika kushiriki kwenye mifumo ya kidemokrasia .Mafunzo haya yametolewa kwa kanda ya ziwa 10-11 August . #churchofsweden #Breadfortheworld
Mwenyekiti wa Kikundi cha Ebenezer kinachowezeshwa na CCT kupitia mradi wa mwanamke Jasiri kilichopo Halmashauri ya Mji wa Tunduma, Bibi Upendo Hakusa akionyesha bidhaa wanazotengeneza (peanut butter, ubuyu na tambi) katika maonyesho ya Nane nane kanda ya nyanda za juu kusini – Mbeya katika maonyesho kwa kukiwakilisha kikundi cha Ebeneza, ambapo lengo ni kuuza bidhaa zao, kutangaz bidhaa zao kwa wanunuzi wengine (masoko) na pia kujifunza kutoka kwa wajasiriamali wengine ili waweze kuborosha au kuongeza aina ya bidhaa katika kikundi chao.
CCT kupitia mradi wa lishe endelevu imeshiriki kilele cha siku ya unyonyeshaji Dodoma City tarehe 7 August 2020 Maadhimisho hayo imekuwa sehemu ya kuhamasisha akina mama wanyonyeshe watoto wao kwa miezi sita ya mwanzoni ili mtoto akue vizuri
Wakulima, Viongozi wa vikundi vya kuweka na kukopa (IR-VICOBA) ,Viongozi kutoka kamati ya mahusiano ya dini mbalimbali, na Wasaidizi wa kisheria Wilaya ya Gairo wakijifunza njia mbalimbali za kilimo, mifugo na uvuvi katika viwanja vya maonesho ya nanenane mjini Morogoro. Washiriki walipata nafasi ya kutembelea mabanda ya mbalimbali ikiwemo banda la JKT, halmashauri za mikoa Tanga ,Dar-er-Salam, Pwani na Morogoro, na mabanda ya makampuni ya mbegu ya SEEDCO, kibo n.k. Matembezi yote haya yamewezeshwa wawezeshaji wenyewe kwa kushirikiana na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT ) kupitia programu ya mabadiliko tabia nchi, mazingira na usalama wa chakula