Ask. Dkt.Stanley Hotay

Mwenyekiti

Mchg.Can.Dkt. Moses Matonya

Katibu Mkuu

Kuhusu CCT

Jumuiya ya Kikristo Tanzania ambayo inajulikana kwa kifupi
kama CCT (Christian Council of Tanzania), ni Taasisi mwavuli inayowakilisha
Umoja wa Madhehebu ya Kikristo ya Kiprotes- tanti Tanzania. Kwa sasa CCT
inaundwa na Makanisa mbalimbali Wanachama na Vyama vya Kikristo au vyenye mwelekeo
wa kikanisa kutoka Tanzania Bara na Visiwani. Taasisi hii ilianzishwa rasmi
tarehe 23 Januari, 1934 kutokana na maono ya Wamisionari kutoka Kanisa
Anglikana, Kanisa la Moravian na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri. Wamisionari
hawa walipata maono ya kujenga umoja kati ya makanisa wanachama ambao utajihusisha na     masuala             mbalimbali      ya     kiimani,
kimaendeleo na kijamii. Muungano huu ulijulikana        kwa  jina  la      Kiingereza,                 Tanganyika Missionary Council
(TMC).

 

Mnamo mwaka 1964 Mungu aliwapa maono watumishi wake Baba  Askofu 
Stephano Reuben Moshi (Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania), Baba
Askofu Theofilo Kisanji (Kanisa la Moravian Tanzania) na Baba Askofu Mkuu John
Sepeku (Kanisa Anglikana Tanzania) kubadilisha usajili wa TMC kuwa Christian
Council of Tanzania (CCT), jina linalotumika hadi sasa. Idadi ya Makanisa
yaliyopo chini ya CCT imekuwa ikiongezeka kutoka Makanisa matatu (3) ya mwanzo
mwaka 1934 hadi kufikia makanisa ya Kiprotestanti kumi na mbili (12) yaliyopo
mwaka 2024

Dira ya CCT

Dhamira ya CCT

Tunu za CCT

Kuwa chombo cha Ki-ekumene cha Kikristo chenye kuleta maendeleo kamilifu na endelevu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.
Kudumisha umoja katika mwili wa Kristo na kuunganisha nguvu katika kutatua changamoto na kutumia fursa zilizopo kuleta maendeleo kamilifu na endelevu kwenye jamii.
Uwakili, Upendo na Huruma,Uwazi na Uwajibikaji, Umoja, Uaminifu na Uadilifu,Kuaminika na Uaminifu, Ubora na Taaluma, Kujitolea.

Mkutano Mkuu wa 32

Jumuiya ya kikristo Tanzania (CCT)

Umisheni na Uinjilisti

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania

Programu za Maendeleo na Utetezi

Wafanyakazi wa CCT walifanya kikao cha kimkakati na washirika wetu kutoka Bread for the World (BftW), Ujerumani.
Mkutano huo ulilenga kukagua maendeleo yaliyofikiwa katika Mradi wa Elimu ya Uraia na Mradi wa Utetezi wa Kanisa na Uwezeshaji Vijana. Majadiliano pia yalilenga katika kuimarisha ushirikiano wetu tunapojiandaa kwa awamu inayofuata ya mipango hii yenye matokeo.”

Management Team

Godlisten Moshi

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu

ahr@cct.or.tz

Clotilda Ndezi

Mkurugenzi wa Programu za Maendeleo na Utetezi

cndezi@cct.or.tz

Rev David Kalinga

Mkurugenz wa Umisheni jna Uinjilisti

dkalinga@cct.or.tz

Beatrice Dengenesa

Mkurugenzi wa Uwekezaji

bdengenesa@cct.or.tz

Emma Mashauri

Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Wanawake Morogoro (MWTC)

director@cct-mwtc.co.tz

Boazi Kitaja

Mkurugenzi – Wakala wa Makanisa (WAMA).

director@wama-cct.org

Urio Ndekirwa

Afisa Mipango, Ufuatiliaji na Mafunzo

pme@cct.or.tz

Etanga Kajanja

Mhasibu Mkuu

finance@cct.or.tz

Grace Mayengo

Mkaguzi wa Ndani

auditor@cct.or.tz

Wadau wetu

Wasiliana nasi

Simu

+255 26 232 4445

Email

gs@cct.or.tz

Anwani

CCT Head Quarter is in Dodoma
Church House
Along Hospital Rd.
Between 8th and 9th Rd.

Postcode 41103

P.O Box 1454,

Dodoma – Tanzania

Makanisa Wanachama CCT

Vyama Vishiriki CCT

  1. Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)
  2. Kanisa Anglikana Tanzania (KAT)
  3. Kanisa la Moravian Tanzania (MCT)
  4. Africa Inland Church of Tanzania (AICT)
  5. Kanisa la Mennonite Tanzania (KMT)
  6. Jeshi la Wokovu (Salvation Army)
  7. Kanisa la Wabaptist Tanzania (BCT)
  8. Presbyterian Church of East Africa (PCEA)
  9. Kanisa la Mungu Tanzania
  10. Kanisa la Biblia Tanzania
  11. Kanisa la Uinjilisti Tanzania
  12. Kanisa la Upendo wa Kristo Masihi (KIUMA)
  1. Bible Society of Tanzania (BST)
  2. Tanganyika Christian Refugee Service (TCRS)
  3. Young Men’s Christian Association (YMCA)
  4. Young Women’s Christian Association (YWCA)
  5. Africa Evangelistic Enterprise (AEE)
  6. Life Ministry Tanzania
  7. Emmanuel International
  8. Summer Institute of Linguistics (SIL)
  9. Compassion International Tanzania
  10. Dodoma Christian Medical Centre Trust (DCMCT)
  11. Mission Aviations Fellowship (MAF)
  12. Scripture Union
  13. Soma Biblia
  14. Amazing Grace
  15. Tume ya Kikristo ya Huduma za Jamii (CSSC)
Scroll to Top