Kuwa chombo cha Ki-ekumene cha Kikristo chenye kuleta maendeleo kamilifu na endelevu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.
Kudumisha umoja katika mwili wa Kristo na kuunganisha nguvu katika kutatua changamoto na kutumia fursa zilizopo kuleta maendeleo kamilifu na endelevu kwenye jamii.
Uwakili, Upendo na Huruma,Uwazi na Uwajibikaji, Umoja, Uaminifu na Uadilifu,Kuaminika na Uaminifu, Ubora na Taaluma, Kujitolea.