Viongozi wa CCT

 

1.Ask.  Dkt. Stanley Hotay – Mwenyekiti 

Ambaye ni Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Mount Kilimanjaro

 

2. Ask Dkt. Abednego Keshomshahara

Makamu wa Kwanza wa Mwenyekit

Ambaye ni Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Magharibi -Bukoba

 

 

3. Askofu Nelson Kisare

Makamu wa Pili wa Mwenyekiti

Ambaye ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Mennonite Tanzania

 

 

4. Mchg Can. Dkt. Moses Matonya – Katibu Mkuu

Scroll to Top