More details

Development Programs & Advocacy

Wanawake ambao ni viongozi wa dini mbalimbali Mkoani Tabora wapata mafunzo kutoka CCT ya kufanya utetezi katika masuala ya haki za binadamu, wanawake, watoto, na mbinu za kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Wamehimizwa kuendelea kutoa elimu kwa waumini katika kutetea watu kupata haki zao na kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Mafunzo yamefanyika Tar 22 Julai 2024 katika ukumbi wa Kanisa la Moraviani