More details

Tunajilinda kuhakikisha Ebola haiingii Tanzania

Tunajilinda kuhakikisha Ebola haiingii Tanzania, na hata ikiingia tuidhibiti isilete madhara. Tunatumia viongozi wa dini mbalimbali hasa kwa Mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita,Mwanza na Mara ambao wanajengewa uwezo katika kuidhibiti Ebola. Ugonjwa huu tayari upo nchi ya Uganda ambayo ni nchi jirani na Tanzania. Tuna mwingiliano mkubwa wa kibiashara kati ya ndugu zetu wa Uganda, hivyo tunapaswa kuchukua tahadhari. Mkurugenzi wa Program za Maendeleo na Utetezi CCT, Clotilda Ndezi