More details

Universal Health Insurance

CCT kwa kushirikiana na Interfaith Standing Committee wameweza kuwasilisha mapendekezo kwenye kamati ya Bunge kama muendelezo wa kufanya ushawishi na utetezi kuhusiana na mswaada wa sheria Bima ya afya ili iweze kuwanufaisha WaTanzania wote kwa tafsiri ya "Universal Health Insurance"