More details

Ndani ya siku 16 za kupinga vitendo vya Ukatili wa kijinsia (16 days of Activism), ambapo kwa Mkoa wa Dodoma shughuli inaendelea. Hapa ni katika shule ya msingi . CCT ni moja ya wadau wakubwa wanaoshirikiana na Serikali katika kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vipigo, ukeketaji, ubakaji n.k