More details

MABORESHO HAKI JINAI

CCT imeshiriki mkutano wa kuwasilisha mapendekezo ya namna ya kuboresha taasisi za haki jinai nchini. Mkutano huu umeandaliwa na tume iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkutano huu umefanyika Tarehe 22/3/2023 jijini Dar es salaam ambapo CCT imewakilishwa na wanasheria wa CCT pamoja na Mwenyekiti wa Sera, fedha na programu za CCT Askofu Nelson Kisare. Lengo hasa ni kusaidia watu kupata haki zao wanapokuwa wa makossa mbalimbalia.