More details

Elimu ya kunawa mikono

Elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Marburg ikiendelea kutolewa Mkoani Kagera. Hapa ni viongozi wa dini mbalimbali wakifundishwa namna ya kunawa mikono ipasavyo. Kumbuka Kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni mara kwa mara kwa kuwa ni njia mojawapo ya kujikinga na Ugojwa huo.