More details

Utumwa mamboleo kwa watoto na namna ya kupingana nao

Askofu Daniel Kiula wa Kanisa la Mungu-Arusha akifungua warsha iliyolenga kupeana uzoefu kuhusu Utumwa mamboleo kwa watoto na namna ya kupingana nao. Aidha Askofu aliwaasa washiriki kukemea vitendo vya utumwa mamboleo kwa watoto maana husababisha Trauma (Jeraha la Kisaikolojia) kwa watoto. Vitendo hivyo ni kama Mimba na ndoa za utotoni, ubakaji kwa watoto, vipigo, ajira kwa watoto, mateso ya kisaikolojia (psychological torture) na vingine vingi. Kwa sababu vitendo hivyo huleta majereha ya akili ya muda mrefu au ya maisha