Mafunzo mbalimbali ya Kutengeneza/Kuboresha bidhaa
CCT kupitia miradi ya Maendeleo imekuwa ikitoa mafunzo mbalimbali ya Kutengeneza/Kuboresha bidhaa/shughuli za wajasiliamali. Mfano wa bidhaa hizo ni sabuni ambapo wajasiliamali hasa kupitia vikundi wameelimishwa na kuboresha bidhaa zao kutokana na mafunzo ya vitendo yanayotolewa.
Unaweza kuwasiliana na waratibu ngazi ya mkoa kupitia mradi wa Mwanamke jasiri kwa ajili ya kupata ushauri juu ya biashara yako hasa katika kuiongezea thamani.
Dodoma
Elizabeth Ngede 0755219022
Mbeya
Faustina Godwin 0755479090
Songwe
Leynid Amos 0757563571
Mara
Rose Sendeu 0787048511