Kazi za ufuatiliaji wa mradi wa Tuwajibike
Kazi za ufuatiliaji wa mradi wa Tuwajibike zikiendelea katika Mikoa ambako mradi unatekelezwa (Kigoma(DC), Dodoma (Bahi), Shinyanga (Kishapu), Tabora(Nzega) na Pwani (Kibiti)). Wanakamati wa MURU wanaeleza namna ambavyo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kuhamasisha wanajamii kushiriki mikutano mbalimbali ya Kijiji, kufuatilia rasilimali za umma kukuza uwazi, uwajibikaji na kuhimiza wanachi kushiriki katika kupanga, kutekeleza, kusimamia […]
Kazi za ufuatiliaji wa mradi wa Tuwajibike Read More »