Kazi za ufuatiliaji wa mradi wa Tuwajibike

Kazi za ufuatiliaji wa mradi wa Tuwajibike zikiendelea katika Mikoa ambako mradi unatekelezwa (Kigoma(DC), Dodoma (Bahi), Shinyanga (Kishapu), Tabora(Nzega) na Pwani (Kibiti)). Wanakamati wa MURU wanaeleza namna ambavyo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kuhamasisha wanajamii kushiriki mikutano mbalimbali ya Kijiji, kufuatilia rasilimali za umma kukuza uwazi, uwajibikaji na kuhimiza wanachi kushiriki katika kupanga, kutekeleza, kusimamia […]

Kazi za ufuatiliaji wa mradi wa Tuwajibike Read More »

Katibu Mkuu CCT atembelea Jengo la Kitegauchumi linalojengwa Dodoma

Katibu Mkuu wa CCT, Mchg Can Dkt Moses Matonya amefanya ziara katika Jengo la Kitega Uchumi la CCT Commercial Complex Jijini Dodoma, Katika ziara yake Katibu Mkuu wa CCT amesisitiza dhamira ya kukamilisha ujenzi kwa wakati na kwa ubora unaoakisi maono ya maendeleo ya CCT. Ziara hii imelenga kuhamasisha uwajibikaji na ili mradi huu uwe

Katibu Mkuu CCT atembelea Jengo la Kitegauchumi linalojengwa Dodoma Read More »

CCT kupitia mradi wa Tuwajibike imetoa mafunzo ya MURU Kwa viongozi wa kamati za ufuatiliaji wa rasilimali za Umma

CCT kupitia mradi wa Tuwajibike imetoa mafunzo ya MURU Kwa viongozi wa kamati ya uhamasishaji wa maendeleo na ufuatiliaji wa rasilimali za umma kwa Mikoa ambako mradi unatekelezwa. MURU ni Mfumo wa Ufuatiliaji wa Rasilimali za Umma unaojulikana kwa lugha ya Kiingereza kama Public Expenditure Tracking Systems or Surveys (PETS) ambao ni dhana ya ufuatiliaji

CCT kupitia mradi wa Tuwajibike imetoa mafunzo ya MURU Kwa viongozi wa kamati za ufuatiliaji wa rasilimali za Umma Read More »

KIKUNDI CHA KUWEKA NA KUKOPA CHAFIKA SHULENI KUTOA MSAADA

Kikundi cha Amani kilianza mwaka 2010 kikiwa na wanachama 30 hadi sasa kina wanachama hai 25Anasimulia mwenyekiti wa kikundi hicho Marry Chacha oringa, Tulianza kuweka na kukopa, tulikuwa na masha duni, tulipopata elimu ya vikoba, tulianza kuweka na kukopa kidogo dogo kupitia biashara zetu ndogondogo.Kuanzia mwaka 2022 tulianza kuona mabadliko baada ya kuanzisha mradi wa

KIKUNDI CHA KUWEKA NA KUKOPA CHAFIKA SHULENI KUTOA MSAADA Read More »

Maombi ya dunia Kitaifa Mkoani Tabora 2025

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania-CCT Askofu.Dkt.Fredrick Shoo pamoja na Katibu Mkuu wa CCT Mch.Canon.Dkt. Moses Matonya wameshiriki Maombi ya dunia Kitaifa Mkoani Tabora,maombi hayo yameratibiwa na Idara ya Maendeleo ya Wanawake,Watoto na Jinsia -CCT kwa kushirikiana na kamati ya Wanawake CCT Mkoa wa Tabora. Katika maombi hayo Mwenyekiti wa CCT amewapongeza CCT Mkoa wa

Maombi ya dunia Kitaifa Mkoani Tabora 2025 Read More »

Kikao ni cha tamthimini ya kazi zilizotekelezwa na viongozi wa dini kwa mwaka 2024

Viongozi wa Kamati ya Dini Mbalimbali Wilayani Kiteto na Simanjiro wakiongozwa na Mch. David Kalinga Afisa Programu wa mahusiano ya Dini Mbalimbali-CCT wamekutana na kufanya kikao kifupi na Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe.Remidius Mwema (ofisini kwake) na Mkuu wa Wilaya Simanjiro Mhe.Fakii Raphael Lulandala(ofisini kwake) kama inavyoonekana katika picha. Kikao ni cha tamthimini ya

Kikao ni cha tamthimini ya kazi zilizotekelezwa na viongozi wa dini kwa mwaka 2024 Read More »

Kongamano la maombi la wa wanawake CCT 2024

Mwenyekiti wa CCT Mkoa wa Morogoro Baba Askofu Jacob Mameo amefungua Kongamano la maombi la wa wanawake CCT Kitaifa,Kongamano hilo linafanyika katika kituo cha mafunzo ya wanawake Morogoro na kuhudhuriwa na wanawake kutoka kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania. Kongamano hilo limetanguliwa na maandamano yaliyofanyika kutokea eneo la posta mpaka kituo cha mafunzo ya wanawake MWTC

Kongamano la maombi la wa wanawake CCT 2024 Read More »

Scroll to Top